
Uhaba mkubwa wa maji umeikumba Somalia na kusababisha hali kuwa mbaya zaidi kwa wananchi pamoja na mifugo.Hali inazidi kuwa mbaya zaidi hata kufikia watu kushindwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kutafuta maji kutokana na hali ya udhoofu inayowakabili wananchi pamoja na mifugo yao,chanzo cha habari kilieleza.Mifereji ya maji na mito vimekauka,mifugo na binadamu wanakufa na hali inazidi kuwa mbaya siku kwa siku nchini Somali kwa hakika ndugu zetu wanateseka.
No comments:
Post a Comment