
Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo.Mfululizo wamabomu ya kutegwa ardhini pamoja na yale ya kujitoa mhanga umesababisha vifo vya watu takriban 42 nchini Iraq na kujeruhi wengine zaidi ya 100.Hali hiyo nchini Iraq sasa imekuwa ni kitu cha kawaida ambapo kwa siku watu kadhaa hufa kutokana na mapigano ya hapa na pale yanayotokana na makundi mbalimbali yaliyokuwepo na yaliyoibuka baada ya vita iliyoongozwa na Marekani kumalizika.HEBU TAZAMA MTU MZIMA HUYU ANAVYOLIA...........!!!
No comments:
Post a Comment