Monday, August 10, 2009

Typhoon Yazidi Kuwa Tishio


Upepo mkali unaoambatana na mvua (Typhoon) uliyokikumba kisiwa cha Taiwan siku chache zilizopita sasa umeingia mashariki mwa china kwa kasi ya km 84 kwa saa.upepo huo uliyoleta maafa makubwa nchini Taiwani umeshaaribu mashamba mengi ya wakulima nchini China pamoja na kuharibu miundo mbinu.Serekali ya China mpaka kufikia sasa imekwisha waamisha watu zaidi ya milioni moja mashariki mwa nchi hiyo ili kuweza kupunguza maafa yanayotokana na upepo huo.

No comments:

Post a Comment