
Computer hiyo ina uwezo wa kutambua vitu mbalimbali zikiwemo simu za mkononi pamoja na digital kamera.Unapoiweka simu yako kwenye kioo cha computer hiyo huitambua ni aina gani,uwezo wake na pia unaweza ku-update picha pamoja na milio mbalimbali ya simu yako kama inavyoonekana kwenye picha.
No comments:
Post a Comment