
Kampuni ya kutengeneza Computer na Software ya Microsot imezindua Computer mpya ijulikanayo kama Surface Computer ambayo itatumika zaidi katika Hoteli,Restaurants,Maduka ya rejareja pamoja na Casino.Computer hiyo iliyo ktk muundo wa meza yenye upana wa inch 30 itakupa uwezo wa kuitumia kama meza na wakati huo huo kama computer ambapo itakupa uwezo wa ku-browse miji mbalimbali, kutoa oda na hata kusikiliza au ku-download miziki au picha mbalimbali ktk internet.
No comments:
Post a Comment