Monday, August 10, 2009

ISLAMABAD


Uchunguzi uliyofanyika hivi karibuni nchini Pakistan unaonyesha kuwa 59% ya wananchi wamechoshwa vitendo pamoja na majeshi ya Marekani kuwepo katika nchi yao.Wakitoa maoni yao kutoka maeneo mbali mabli yanchi hiyo wanachi hao walisema vita,njaa pamoja na vitendo vya kujitoa mhanga vinavyotokea mara kwa mara havisababishwi na ndugu zao India kama ambavyo wengi walivyokuwa wadhani bali yanatokana na siasa za kimarekani ndani ya nchi yao na wametaka siasa hizo zikome na wamarekani hao waondoke haraka iwezekanavyo ktk ardhi yao.

No comments:

Post a Comment