Thursday, November 4, 2010

Mambo Ya Teknologia

Chini na hapa juu kushoto ni robot maalumu iliyotengenezwa na wana-anga wa kimarekani ambayo itakuwa inatumika kufanya shughuli mbalimbali nje ya maabara ya anga ya kimataifa inayoelea angani ambapo shughuli hizo mwanzo zilikuwa zikifanywa na binadamu

Robonaut 2


Thursday, February 25, 2010

Jamaa wapo ktk hatua za mwisho kabisa za ujenzi wa International Space Station(Kituo cha anga cha kimataifa) ambacho kitakuwa kikitumiwa kufanya tafiti mbalimbali zinazohusu anga.Hapa anaonekana mwanaanga akiwa ktk harakati za ku-fix moja ya maabara zitakazokuwa zikitumiwa ktk tafiti hizo.Kituo hicho kwa sasa kimefikia 90% ya ujenzi wake ambapo kimebakiza asilimia kumi tu kabla ya kuanza kazi rassmi.

Tuesday, February 9, 2010

Shaggy

Shaggy kwa mara nyingine tena ameonyesha uwezo mkubwa kabisa wa kucheza na vocal ktk wimbo unaokwenda kwa jina" Street Bullies M adley" akishirikiana na wanamuziki wengine kama Vybz Kartel, Cecile na wengineo na kuiwezesha kushika nafasi ya pili ktk reggae top10 nchini Jamaica wiki hii wakati nafasi ya kwanza ikishikiliwa na mwanamuziki Sean Paulo na wimbo wake" Press It Up" kwa wiki ya nne mfululizo.Ni ridim na video kali usiikose!!

Monday, February 1, 2010

Mmoja wa washiriki wa kumtafuta bingwa wa "mustach" yaliyofanyika huko mamtoni akiwa ktk pozi la kipekee