Thursday, November 4, 2010

Mambo Ya Teknologia

Chini na hapa juu kushoto ni robot maalumu iliyotengenezwa na wana-anga wa kimarekani ambayo itakuwa inatumika kufanya shughuli mbalimbali nje ya maabara ya anga ya kimataifa inayoelea angani ambapo shughuli hizo mwanzo zilikuwa zikifanywa na binadamu

No comments:

Post a Comment