Kuna jamaaa anasema hii imetokea Sumbawanga japo sina uhakika nadhani alikuwa anapika tuu stori.Stori inasema n'gombe huyu alikuwa anapenda kula mazao ya watu hivyo mwenye naye alipoamka asubuhi akamkuta juu ya paa la nyumba yake!!Mmm..!Hii sayansi kiboko.
No comments:
Post a Comment