
Mwanamama Queen Ifrica anatarajia kuzindua album yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina 'Montego Bay' iliyorekodiwa ktk studio za Vp Records.Aakielezea kuhusu ujio wa album hiyo alisema itasheheni takribani nyimbo 13 zitakazobeba ujumbe wa aina tofauti kama vile kiriho,burudani pamaoja na za mahusiano ya kimapenzi.Baadhi ya nyibo zilizo ktk album hiyo ni pamoja na Lioness On The Rise,Keep It To Yourself,Calling Africa,Daddy na nyinginezo nyingi..Usiikose